WAZIRI CHANA AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA
![Image](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjH8q9DFtrqIoHBq9aKBKaDl2HlXj6OeekK6nyY2EX58Q94PJF4wfk7zNsXaeI41qlYH75ItJclmP9-mXPoXtOmD0RBZ0EHmKggiGOksG4f_OhLFAMJJhr9mfVhhCYDTamZ3ZzdQE1xXExhjeqbB4uYja6yNQgqdwFtZZBOmknrqtrFpuynykDQiq5iphQ/s320/01.jpg)
Bwana Eliakim Chacha Maswi akila kiapo kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Julai 26, 2024 Ikulu Dar es Salaam. Bwana Eliakim Chacha Maswi (mwenye shada la maua) baada ya kupokelewa na Viongozi wa Wizara na baadhi ya Wakuu wa Taasisi za Wizara, Julai 26, 2024 Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Dar es Salaam. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana akiongea kwenye hafla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Maswi, Julai 26, 2024 Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongea kwenye hafla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Maswi, Julai 26, 2024 Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Dar es Salaam. Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Chacha Maswi akiongea na Viongozi wa Wizara na baadhi ya Wakuu wa Taasisi za Wizara kwenye hafla ya kumpokea kama Katibu Mkuu mpya, Julai 26, 2024 Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu akieleze