KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA AONGOZA MKUTANO WA WATAALAM WA SHERIA WA NCHI ZA SADC

Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kulia) akiongea na wataalam hao (hawapo pichani). Tanzania ni Mwenyekiti wa mkutano huo hivyo kumwezesha Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria kuwa Mwenyekiti wa mkutano huo.

Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA