KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA AONGOZA MKUTANO WA WATAALAM WA SHERIA WA NCHI ZA SADC
Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kulia) akiongea na wataalam hao (hawapo pichani). Tanzania ni Mwenyekiti wa mkutano huo hivyo kumwezesha Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria kuwa Mwenyekiti wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo.
Comments
Post a Comment