KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA AONGOZA MKUTANO WA WATAALAM WA SHERIA WA NCHI ZA SADC

Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kulia) akiongea na wataalam hao (hawapo pichani). Tanzania ni Mwenyekiti wa mkutano huo hivyo kumwezesha Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria kuwa Mwenyekiti wa mkutano huo.

Mwenyekiti wa mkutano wa wataalam wa Sheria wa nchi za SADC ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA