WAZIRI MAHIGA ASHUHUDIA UANDIKISHAJI VIZAZI, VIFO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI IRINGA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimkabidhi mzazi cheti cha kuzaliwa mtoto baada ya kuandikishwa.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akionesha cheti cha kuzaliwa kilichoandikishwa.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Bi Emmy Hudson (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Bi. Lina Msanga katika zoezi la uandikishaji wa vizazi na vifo Mkoani Iringa.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA