WAZIRI MAHIGA ASHUHUDIA UANDIKISHAJI VIZAZI, VIFO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI IRINGA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimkabidhi mzazi cheti cha kuzaliwa mtoto baada ya kuandikishwa.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akionesha cheti cha kuzaliwa kilichoandikishwa.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Bi Emmy Hudson (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Bi. Lina Msanga katika zoezi la uandikishaji wa vizazi na vifo Mkoani Iringa.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akionesha cheti cha kuzaliwa kilichoandikishwa.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Bi Emmy Hudson (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Bi. Lina Msanga katika zoezi la uandikishaji wa vizazi na vifo Mkoani Iringa.
Comments
Post a Comment