Habari Picha: Baraza la wafanyakazi Tume ya Kurekebisha Sheria

 Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA na viongozi wao katika picha ya pamoja muda mchache kabla ya Uzinduzi wa Baraza hilo uliofanyika Ngorongoro


Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiwahutubia Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA wakati wa  Uzinduzi wa Baraza hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (katikati) akufuatilia mada katika Hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA

Afisa kutoka Ofisi ya Rais UTUMISHI Bi. Mwanvita Shamte (katikati) akitoa mada wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi TUMESHERIA
Katibu wa TUGHE wa Mkoa wa Manyara Bw. Yakubu salim akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA