Habari Picha: Baraza la wafanyakazi Tume ya Kurekebisha Sheria
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA na viongozi wao katika picha ya pamoja muda mchache kabla ya Uzinduzi wa Baraza hilo uliofanyika Ngorongoro
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiwahutubia Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA wakati wa Uzinduzi wa Baraza hilo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (katikati) akufuatilia mada katika Hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA
Afisa kutoka Ofisi ya Rais UTUMISHI Bi. Mwanvita Shamte (katikati) akitoa mada wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi TUMESHERIA
Katibu wa TUGHE wa Mkoa wa Manyara Bw. Yakubu salim akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiwahutubia Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA wakati wa Uzinduzi wa Baraza hilo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (katikati) akufuatilia mada katika Hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la TUMESHERIA
Katibu wa TUGHE wa Mkoa wa Manyara Bw. Yakubu salim akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Comments
Post a Comment