MAKAMU MWENYEKITI TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWLA BORA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mohamed Hamad akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Neema Mwanga alipotembelea banda hilo kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Sheria.

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mohamed Hamad akipokea Katiba ya mwaka 1977 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Neema Mwanga alipotembelea banda hilo kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Sheria.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA