NAIBU MWANASHERIA MKUU ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Evaristo Longopa akiangalia baadhi ya vipeperushi vinavyogawiwa kwa wananchi wanaotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA