NAIBU MWANASHERIA MKUU ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Evaristo Longopa akiangalia baadhi ya vipeperushi vinavyogawiwa kwa wananchi wanaotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment