NAIBU MWANASHERIA MKUU ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Evaristo Longopa akiangalia baadhi ya vipeperushi vinavyogawiwa kwa wananchi wanaotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA