NAIBU WAKILI MKUU WA SERIKALI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Mhe. Gabriel Malata akifafanua jambo alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Anayemsikiliza ni Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri na Rasilimali asilia wizarani hapo.
Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia waWizara ya Katiba na Sheria Kamishna Neema Mwanga akifafanua jambo kwa Naibu Wakili wa Serikali Mhe. Gabriel Malata alipotembelea banda hilo katika maadimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA