NAIBU WAKILI MKUU WA SERIKALI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Mhe. Gabriel Malata akifafanua jambo alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Anayemsikiliza ni Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri na Rasilimali asilia wizarani hapo.
Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia waWizara ya Katiba na Sheria Kamishna Neema Mwanga akifafanua jambo kwa Naibu Wakili wa Serikali Mhe. Gabriel Malata alipotembelea banda hilo katika maadimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA