NAIBU WAKILI MKUU WA SERIKALI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Mhe. Gabriel Malata akifafanua jambo alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Anayemsikiliza ni Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri na Rasilimali asilia wizarani hapo.
Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia waWizara ya Katiba na Sheria Kamishna Neema Mwanga akifafanua jambo kwa Naibu Wakili wa Serikali Mhe. Gabriel Malata alipotembelea banda hilo katika maadimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa Utajiri na Rasilimali Asilia waWizara ya Katiba na Sheria Kamishna Neema Mwanga akifafanua jambo kwa Naibu Wakili wa Serikali Mhe. Gabriel Malata alipotembelea banda hilo katika maadimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment