SPIKA NDUGAI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai akipata maelezo kuhusu shughuli zinazofanywa na Wizara ya Katiba na Sheria alipotembelea banda la Wizara hiyo katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.
Maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wakimsikiliza Mhe. Ndugai alipotembelea banda la Wizara hiyo kutoka kulia ni Kamishna Neema Mwanga Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri wa asili na rasilimali asilia katikati ni Bi. Ester Msambazi Wakili wa Serikali na mwingine ni Hussein Mandali Wakili.
Vipeperushi mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu kwa Umma kwenye maadhimisho hayo.
Maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wakimsikiliza Mhe. Ndugai alipotembelea banda la Wizara hiyo kutoka kulia ni Kamishna Neema Mwanga Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri wa asili na rasilimali asilia katikati ni Bi. Ester Msambazi Wakili wa Serikali na mwingine ni Hussein Mandali Wakili.
Vipeperushi mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu kwa Umma kwenye maadhimisho hayo.
Comments
Post a Comment