SPIKA NDUGAI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai akipata maelezo kuhusu shughuli zinazofanywa na Wizara ya Katiba na Sheria alipotembelea banda la Wizara hiyo katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.
Maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wakimsikiliza Mhe. Ndugai alipotembelea banda la Wizara hiyo kutoka kulia ni Kamishna Neema Mwanga Mkurugenzi wa Idara ya Uangalizi wa utajiri wa asili na rasilimali asilia  katikati ni Bi. Ester Msambazi Wakili wa Serikali na mwingine ni Hussein Mandali Wakili.
Vipeperushi mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu kwa Umma kwenye maadhimisho hayo.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA