WATUMISHI WIZARA YA KATIBA WAPATA ELIMU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA COVID19
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt. Balozi Augustine Mahiga akifafanua jambo wakati watumishi wa Wizara hiyo wakipatiwa mafunzo ya kujikinga na virusi vya Covid19 kutoka kwa wataalam wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto katika ofisi za Wizara hiyo Mtumba Jijini Dodoma.
Mtaalam wa Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto akiwaonyesha namna sahihi ya kunawa mikono watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakati akiwapatia mafunzo ya kujikinga na virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Mtaalam wa Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto akiwaonyesha namna sahihi ya kunawa mikono watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakati akiwapatia mafunzo ya kujikinga na virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Comments
Post a Comment