WIZARA YA KATIBA YAENDELEA KUIKIJANISHA DODOMA
Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Utawala wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Edith Simtengu akipanda mti katika zoezi la upandaji miti katika viwanja vya Wizara hiyo Mtumba, Jijini Dodoma..
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiendelea na zoezi la kukijanisha Dodoma kwa kupanda miti katika viwanja vya wizara hiyo.
Bi Joyce Mtuma (kushoto) na Bi. Agnes Mkawe ambao ni watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa wamebeba mti kuupeleka kwenye shimo la kuupanda katika zoezi la upandaji miti lililofanyika leo (3/4/2020) katika viwanja vya wizara hiyo.
Comments
Post a Comment