WIZARA YA KATIBA YAENDELEA KUIKIJANISHA DODOMA

Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Utawala wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Edith Simtengu akipanda mti katika zoezi la upandaji miti katika viwanja vya Wizara hiyo Mtumba, Jijini Dodoma..

Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiendelea na zoezi la kukijanisha Dodoma kwa kupanda miti katika viwanja vya wizara hiyo.
Bi Joyce Mtuma (kushoto) na Bi. Agnes Mkawe ambao ni watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa wamebeba mti kuupeleka kwenye shimo la kuupanda katika zoezi la upandaji miti lililofanyika leo (3/4/2020) katika viwanja vya wizara hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA