KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WAFUGAJI NCHINI KUUNDWA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao cha viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri wa Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Makatibu Wakuu wa Wizara za Katiba na Sheria, Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii na Mwendesha Mashtaka nchini kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiongea katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiongea katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.
Comments
Post a Comment