KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WAFUGAJI NCHINI KUUNDWA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao cha viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri wa Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Makatibu Wakuu wa Wizara za  Katiba na Sheria, Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii na Mwendesha Mashtaka nchini kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiongea  katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA