KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WAFUGAJI NCHINI KUUNDWA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao cha viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri wa Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Makatibu Wakuu wa Wizara za  Katiba na Sheria, Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii na Mwendesha Mashtaka nchini kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiongea  katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA