MWENYEKITI TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA AMTEMBELEA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipokea makabrasha yanayohusu majukumu ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo Mhe.  Jaji Mstaafu Januari Msoffe alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kwa Waziri baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo hivi karibuni.

Mhe.  Jaji Mstaafu Januari Msoffe (katikati) akifafanua jambo kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba  alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha. Mwingine kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma wizarani hapo Bw. Griffin Mwakapeje.


 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba  akiongea na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe.  Jaji Mstaafu Januari Msoffe na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA