WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKUTANA NA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba afanya mazungumzo na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na mgeni wake Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba (wa pili kulia) baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA