WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKUTANA NA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba afanya mazungumzo na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na mgeni wake Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba (wa pili kulia) baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na mgeni wake Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba (wa pili kulia) baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment