WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKUTANA NA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba afanya mazungumzo na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na mgeni wake Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba (wa pili kulia) baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA