NAIBU KATIBU MKUU AKAGUA HUDUMA ZA ZA UTOAJI MSAADA WA KISHERIA MKOANI TABORA


Viongozi mbalimbali wakimpokea Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Amon Mpanju (katikati)  kwa ajili ya kuhudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa wa Tabora jana




Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Amon Mpanju (kushoto) akibadilishana mawazo na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Tabora (Utumishi na Utawala) Hamis Mkunga (kulia)  wakati wa  hafla fupi ya uzinduzi Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa wa Tabora jana.



Msajili Msaidizi wa Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa (LAPS) Mkoa wa Tabora Panin Kerika akiwasilisha taarifa fupi ya hali ya utoaji wa msaada wa kisheria wakati wa  hafla fupi ya uzinduzi Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa wa Tabora jana


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Amon Mpanju (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa wa Tabora mara baada  ya uzinduzi wa Kamati hiyo jana

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Amon Mpanju akitoa nahasa zake wakati wa uzinduzi wa Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa wa Tabora jana

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA