WATAALAM WA SHERIA KUTOKA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA NA TAASISI NYINGINE WAJADILIANA KUHUSU MAREKEBISHO YA SURA YA 16





Wataalam kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na Wizara na Taasisi nyingine za Serikali wakiwa katika majadiliano ya mapitio ya sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16. wataalam hao walianza kupitia vifungu kimoja baada ya kingine vya sura ya 16 katika mafungu waliyogawana na sasa wanaendelea na majadiliano ya namna ya kuvirekebisha vifungu vilivyoonekana vinamapungufu na haviendani na wakati wa sasa. 

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA