KIKAO CHA KUCHAMBUA TAKWIMU ZA MCHANGO WA UTAJIRI WA ASILI NA MALIASILIA ZA NCHI KATIKA PATO LA TAIFA


Wajumbe wa kikao kazi cha wataalam wa ndani na nje ya wizara wakijadili jinsi ya kuchambua takwimu za mchango wa Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi katika pato la Taifa. Wataalam hao wanatoka Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Fedha na Mipango, Wakala wa Serikali Mtandao, Ofisi ya Taifa ya Takwimu, ESRF, REPOA na Baaza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.


Sehemu ya wajumbe wa kikao kazi cha wataalam wa ndani na nje ya wizara wakijadili jinsi ya kuchambua takwimu za mchango wa Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi katika pato la Taifa.


Mkurugenzi wa Kitengo cha Uangalizi wa Utajiri Asilia na Maliasilia za nchi Bi. Neema Mwanga akisisitiza jambo katika kikao kazi cha wataalam wa ndani na nje ya wizara wakijadili jinsi ya kuchambua takwimu za mchango wa Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi katika pato la Taifa.

Mjumbe wa kikao kazi cha wataalam kujadili jinsi ya kuchambua takwimu za mchango wa Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi katika pato la Taifa Bw. Emanoel Alfred ambaye ni Mchambuzi wa Sera kutoka Taasisi ya Uongozi akichangia mada.


Majadiliano kuhusu  uchambuzi wa takwimu za mchango wa Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi katika pato la Taifa yakiendelea.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA