VIONGOZI MBALIMBALI WALIOTEMBELEA BANDA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Prof. Adelardus Kilangi akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Mizengo Pinda akimuelekeza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma Bw. Griffin Mwakapeje alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Mizengo Pinda akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mahakama Kuu katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu.
Kaimu Mtendaji Mkuu RITA akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Palamagamba Kabudi akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu.
Comments
Post a Comment