WANANCHI WAASWA KUANDIKA WOSIA KUEPUKA MIGOGORO NDANI YA FAMILIA
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda akizungumza kwenye semina ya kujenga uelewa kwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwenye masuala ya Utajiri Asilia na Maliasilia za Nchi na Wosia na Mirathi.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju akizungumza katika semina ya kujenga uelewa kwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwenye masuala ya Utajiri Asilia na Maliasilia za Nchi na Wosia na Mirathi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza kwenye semina ya kamati hiyo kwenye masuala ya Utajiri Asilia na Maliasilia za Nchi na Wosia na Mirathi.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi. Emmy Hudson akizungumza katika semina ya kujenga uelewa kwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwenye masuala ya Utajiri Asilia na Maliasilia za Nchi na Wosia na Mirathi.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwao katika semina ya kuwajengea uelewa juu ya masuala ya Utajiri Asilia na Maliasilia za Nchi na Wosia na Mirathi.
Picha ya pamoja baada ya semina.
Comments
Post a Comment