Posts

Showing posts from March, 2021

WAZIRI NCHEMBA AWASILISHA MPANGO NA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA KWENYE KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA KWA MWAKA 2021/2022

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (kushoto) akiongea wakati akiwasilisha mpango na makadirio ya bajeti ya wizara kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022.Mwenye miwani nyeusi ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Ndg. Amon Mpanju.   Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda akifuatilia hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ya mpango na makadirio ya bajeti ya wizara kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022, mwingine pichani ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu  wa RITA Bi. Emmy Hudson. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Mohamed Mchengerwa akiongea wakati kamati hiyo ilipokuwa ikisikiliza hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ya mpango na makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia  hotuba ya Waziri wa Katiba na Sh

PUMZIKA KWA AMANI MHE. JOHN POMBE MAGUFULI

Image
 

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA MKOA NJOMBE

Image
Jengo la Mahakama ya Mkoa Njombe likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi.   Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria yakagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipata maelezo kuhusu ujenzi wa mradi wa Mahakama ya Mkoa Njombe. Viongozi wa Wizara wakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kukagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021.

ZIARA YA KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA KATIKA MAHAKAMA YA MWANZO KIBAIGWA

Image
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiwa katika ziara ya kutembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa.   Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (katikati) akibadilishana mawazo na Naibu waziri wa wizara hiyo Mhe. Geophrey Pinda (kushoto) na Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome wakati wa ziara ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria kutembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa.   Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiwa katika ziara ya kutembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa.

TANGAZO KWA UMMA

Image
 

WATUMISHI WANAWAKE WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Image
Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakishiriki maandamano katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakifuatilia hotuba mbalimbali katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAANZA ZOEZI LA KUTAFSIRI SHERIA ZOTE NCHINI KUWA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Image
Wataalamu kutoka taasisi za sheria ikiwemo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tume ya Kurekebisha Sheria na chama cha wanasheria Tanganyika wakiongozwa na Wanasheria wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiendelea na zoezi la kutafsiri sheria kuwa katika lugha ya kiswahili. Awamu ya kwanza ya zoezi hili ilianza kufanyika Machi 3 na inategemea kukamilika Machi 11, 2021 na itahusisha utafsiri wa sheria 16. Kazi ya kutafsiri sheria zote itafanyika kwa awamu tatu ambapo awamu hizo zinategemea kukamilika mwezi Disemba, 2021. XXXXXXXXXXXXXXXXXXXX Kikao kazi cha wataalamu wa sheria kutoka taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria chaanza kazi ya kutafsiri sheria zote nchini. Kikao kazi hicho cha awamu ya kwanza cha siku 8 kilichoanza kazi Machi 3 kinatarajiwa kukamilisha kazi yake Machi 11 kwa kutafsiri sheria 16. Huu ni utekelezaji wa agizo lilitolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba   kwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Prof. Sifuni

SERIKALI YAZINDUA MPANGO WA PILI WA MABORESHO ENDELEVU YA HAKI MTOTO

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza katika uzinduzi wa mpango mkakati wa pili wa maboresho endelevu ya haki mtoto hapa nchini uliofanyika Machi 2, 2021 jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Mwigulu Nchemba akizindua mpango mkakati wa pili wa maboresho endelevu ya haki mtoto hapa nchini, uzinduzi huo umefanyika Machi 2, 2021 jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akizungumza katika uzinduzi wa mpango mkakati wa pili wa maboresho endelevu ya haki mtoto hapa nchini uliofanyika Machi 2, 2021 jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Griffin Mwakapeje akizungumza katika uzinduzi wa mpango mkakati wa pili wa maboresho endelevu ya haki mtoto hapa nchini uliofanyika Machi 2, 2021 jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Mwigulu Nchemba ( wa tatu kulia) akiwa na viongozi kutoka wizara mbalimbali wakionyesha nakala za mpango mkakati wa pili wa haki mtoto. XX