KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA MKOA NJOMBE

Jengo la Mahakama ya Mkoa Njombe likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi.
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria yakagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipata maelezo kuhusu ujenzi wa mradi wa Mahakama ya Mkoa Njombe.


Viongozi wa Wizara wakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kukagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA