KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA MKOA NJOMBE
Jengo la Mahakama ya Mkoa Njombe likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi.
Viongozi wa Wizara wakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kukagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe leo 13/3/2021.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria yakagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe leo 13/3/2021.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipata maelezo kuhusu ujenzi wa mradi wa Mahakama ya Mkoa Njombe.
Viongozi wa Wizara wakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kukagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe leo 13/3/2021.
Comments
Post a Comment