KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA MKOA NJOMBE

Jengo la Mahakama ya Mkoa Njombe likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi.
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria yakagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipata maelezo kuhusu ujenzi wa mradi wa Mahakama ya Mkoa Njombe.


Viongozi wa Wizara wakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kukagua mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Mkoa Njombe  leo 13/3/2021.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA