WATUMISHI WANAWAKE WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI


Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.



Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakishiriki maandamano katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.

Watumishi Wanawake wa Wizara ya Katiba na Sheria wakifuatilia hotuba mbalimbali katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.



Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA