WAZIRI NCHEMBA AWASILISHA MPANGO NA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA KWENYE KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA KWA MWAKA 2021/2022

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (kushoto) akiongea wakati akiwasilisha mpango na makadirio ya bajeti ya wizara kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022.Mwenye miwani nyeusi ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Ndg. Amon Mpanju.
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda akifuatilia hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ya mpango na makadirio ya bajeti ya wizara kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022, mwingine pichani ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu  wa RITA Bi. Emmy Hudson.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Mohamed Mchengerwa akiongea wakati kamati hiyo ilipokuwa ikisikiliza hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ya mpango na makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia  hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (hayupo pichani) ya mpango na makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia  hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (hayupo pichani) ya mpango na makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA