ZIARA YA KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA KATIKA MAHAKAMA YA MWANZO KIBAIGWA
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (katikati) akibadilishana mawazo na Naibu waziri wa wizara hiyo Mhe. Geophrey Pinda (kushoto) na Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome wakati wa ziara ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria kutembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiwa katika ziara ya kutembelea mahakama ya Mwanzo Kibaigwa.
Comments
Post a Comment