Mhe. GEOPHREY PINDA AONGOZA KIKAO CHA WAKUU WA TAASISI KUPITIA HOTUBA YA BAJETI YA 2021/2022
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda (kushoto) akiongoza kikao cha Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia hotuba ya bajeti ya wizara ya mwaka wa fedha 2021/2022.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda akiongoza kikao cha Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia hotuba ya bajeti ya wizara ya mwaka wa fedha 2021/2022.
Comments
Post a Comment