WAZIRI KABUDI APOKELEWA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi alipowasili wizarani hapo na kupokelewa na viongozi na watumishi wa wizara hiyo mara baada ya kuapishwa kushika wadhifa huo baada ya mabadilikio madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Waziri Kabudi akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Sifuni Mchome.



Waziri Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria.

 
Waziri Kabudi (wa pili kulia) akisaini kitabu cha wageni alipoingia ofisini kwake.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA