Wataalam wa Takwimu kutoka Taasisi za NBS , REPOA .ECRF na UONGOZI wakishiriki na Wizara ya Katiba na Sheria kuangalia Mchango wa Sheria Sura 449 na 450 katika Pato la Taifa na Maendeleo ya Wananchi
Popular posts from this blog
KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Mhe. Joseph Mhagama akiongoza kikao cha kamati cha kujadili taarifa ya miezi mitatu ya utekelejazi wa majukumu ya Wizara pamoja na Taasisi zake katika ukumbi wa bunge tarehe 21 Agosti 2023 jijini Dodoma. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akiwasilisha taarifa kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Utawala, Katiba na Sheria katika ukumbi wa bunge tarehe 21 Agosti 2023. Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Sera na Mipngo Bw. Mbaraka Stambuli akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara kwenye Kamati ya Kudumu ya bunge Utawala, Katiba na Sheria tarehe 21 Agosti 2023. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Mhe. Joseph Mhagama akifuatilia taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Katiba na Sheria kwenye kikao kilichofanyika tarehe 21 Agosti 2023 jijini Dodoma. XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX Na, George
TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria leo tarehe 6 Novemba 2023 Jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana akitoa ufafanuzi wa Jambo alipkuwa akiongea na watumishi wa Wizara ya katiba na sheria leo 6 Novemba 2023 jijini Dodoma. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akiongea na watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria leo tarehe 6 Novemba 2023 Jijini Dodoma. Watumishi wa Wizara ya Katiba wakimsikiliza waziri alipokuwa akiongea kwenye kikao kazi kilichofanyika leo tarehe 6 Novemba 2023 mtumba jijini Dodoma XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX Na. George Mwakyembe – WKS – Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana amewataka watumishi pamoja na menejimenti ya Wizara yake kufanya kazi kwa kujituma, uadilifu na kwa ushirikiano ili kutimiza malengo ya Wizara katika kuwahudumia watanzania. Waziri Chana ameyase
Comments
Post a Comment