Waziri
wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi aongoza kikao kazi cha kikao
kazi cha kutathmini zoezi la kutafsiri sheria mbalimbali katika lugha ya
Kiswahili mapema leo tarehe 27 Mei, 2021 mjini Dodoma. Kikao kazi hiki kimehudhuriwa na Wakurugenzi
wa Idara na Vitengo vya Sheria vya Wizara zote za Serikali.
Comments
Post a Comment