MAONI YATAKAYOWEZESHA KUANDAA SERA YA TAIFA YA MASHTAKA YAANZA KUKUSANYWA


Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki Bw. Patience Ntwina akiongoza kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha  kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali

Washiriki wa kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha  kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali.
Picha ya pamoja baada ya kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha  kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali.



Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA