MAONI YATAKAYOWEZESHA KUANDAA SERA YA TAIFA YA MASHTAKA YAANZA KUKUSANYWA
Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki Bw. Patience Ntwina akiongoza kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali
Washiriki wa kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali.
Picha ya pamoja baada ya kikao cha kukusanya maoni yatakayowezesha kuandaa Sera ya Taifa ya Mashtaka kilichojumuisha waendesha mashtaka kutoka mikoa mbalimbali.
Comments
Post a Comment