WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YANYAKUA MEDALI YA SHABA KWENYE MBIO ZA WAZEE

 

Bi.Georgina Mukwenda kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ameibuka mshindi wa pili(2) wa mbio za jumla za wazee na kuibuka na medali ya Shaba kwenye mashindano ya Shimiwi Mkoani Morogoro: Tunampongeza sana kwa kuiletea Wizara yetu ya Katiba na Sheria heshima kwenye mbio hizo zilizokuwa na ushindani mkali.




Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA