WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YANYAKUA MEDALI YA SHABA KWENYE MBIO ZA WAZEE
Bi.Georgina Mukwenda kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ameibuka mshindi wa pili(2) wa mbio za jumla za wazee na kuibuka na medali ya Shaba kwenye mashindano ya Shimiwi Mkoani Morogoro: Tunampongeza sana kwa kuiletea Wizara yetu ya Katiba na Sheria heshima kwenye mbio hizo zilizokuwa na ushindani mkali.
Comments
Post a Comment