WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YANYAKUA MEDALI YA SHABA KWENYE MBIO ZA WAZEE

 

Bi.Georgina Mukwenda kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ameibuka mshindi wa pili(2) wa mbio za jumla za wazee na kuibuka na medali ya Shaba kwenye mashindano ya Shimiwi Mkoani Morogoro: Tunampongeza sana kwa kuiletea Wizara yetu ya Katiba na Sheria heshima kwenye mbio hizo zilizokuwa na ushindani mkali.




Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA