AMANI YA NCHI NI MOJA YA MAFANIKIO KWA SEKTA YA SHERIA KATIKA MIAKA 60 YA UHURU
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akiwaelezea kuhusu sekta ya sheria ilipotoka, ilipo, inakoelekea na mafanikio iliyopata katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Prof. Kabudi.
Comments
Post a Comment