KABUDI AONGOZA KIKAO KAZI CHA NDANI OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA USWISI

 


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiongoza kikao kazi cha ndani kilichofanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, mjini Geneva, Uswisi tarehe 3/11/2021.
Kikao kazi hicho kilihudhuriwa pia na Balozi wa Tanzania katika mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Uswisi Mhe. Maimuna Tarishi, Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome, Naibu Katibu Mkuu Ndg. Amon Mpanju pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na ofisi ya Balozi.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA