KATIBU MKUU BI MARY MAKONDO AKAGUA UJENZI WA OFISI ZA WIZARA YA KATIBA
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akipata maelezo kutoka kwa mtaalam wa ujenzi alipotembelea eneo la ujenzi wa ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria ili kujionea hali ilivyo na hatua iliyofikiwa.Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akikagua vifaa vya ujenzi vinavyotumika kwenye ujenzi wa ofisi za Wizara hiyo unaoendelea Mtumba, jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akiwa ameongozana na viongozi akiwemo Naibu Katibu Mkuu Dkt Kazungu Khatibu na menejimenti ya wizara hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi za wizara zilizopo Mtumba, jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment