VIONGOZI WA TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA WAMTEMBELEA WAZIRI SIMBACHAWENE OFISINI KWAKE
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Bw. Sylvester Mwakitalu (wa pili kushoto) mara baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakili Mkuu wa Serikali Bw. Gabriel Malata (wa pili kushoto) mara baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora walioambatana na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo waliofika ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment