WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA BODI YA KITAIFA YA USHAURI WA MSAADA WA KISHERIA


 



Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (wa nne kushoto) akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Mary Makondo (wa nne kulia) na Naibu Katibu Mkuu Dkt. Khatibu Kazungu (wa pili kushoto) afanya majadiliano na Bodi ya Kitaifa ya Ushauri wa Msaada wa Kisheria ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi hiyo Bw. Saulo Malauri na Katibu wa Bodi  ambaye pia ni msajili wa Watoa Msaada wa Kisheria Bi. Felistas Mushi. Majadiliano hayo yamefanyika leo Januari 28, 2022.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA