WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA BODI YA KITAIFA YA USHAURI WA MSAADA WA KISHERIA


 



Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (wa nne kushoto) akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Mary Makondo (wa nne kulia) na Naibu Katibu Mkuu Dkt. Khatibu Kazungu (wa pili kushoto) afanya majadiliano na Bodi ya Kitaifa ya Ushauri wa Msaada wa Kisheria ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi hiyo Bw. Saulo Malauri na Katibu wa Bodi  ambaye pia ni msajili wa Watoa Msaada wa Kisheria Bi. Felistas Mushi. Majadiliano hayo yamefanyika leo Januari 28, 2022.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA