WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA MENEJIMENTI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene akiongoza kikao cha manejimenti ya wizara na kupata taarifa ya utekelezaji.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Kazungu Khatibu (aliyesimama) akiongea katika kikao cha menejimenti ya wizara hiyo kilichoongozwa na Waziri Simbachawene.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (kushoto) akifuatilia taarifa za utekelezaji wa majukumu ya wizara zinazotolewa wakuu wa idara na vitengo wa wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao cha menejimenti ya wizara hiyo. Mwingine pichani ni Naibu Waziri Mhe. Geophrey Pinda
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (kushoto) akisikiliza kwa makini taarifa za utekelezaji wa majukumu zinazotolewa na wajumbe wa menejimenti katika kikao cha menejimenti ya wizara hiyo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Kazungu Khatibu (aliyesimama) akiongea katika kikao cha menejimenti ya wizara hiyo kilichoongozwa na Waziri Simbachawene.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (kushoto) akifuatilia taarifa za utekelezaji wa majukumu ya wizara zinazotolewa wakuu wa idara na vitengo wa wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao cha menejimenti ya wizara hiyo. Mwingine pichani ni Naibu Waziri Mhe. Geophrey Pinda
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (kushoto) akisikiliza kwa makini taarifa za utekelezaji wa majukumu zinazotolewa na wajumbe wa menejimenti katika kikao cha menejimenti ya wizara hiyo.
Comments
Post a Comment