WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar ( kushoto) akimsikiliza Waziri Simbachawene ( hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar ( wa nne kulia) baada ya mazungumzo yao.
Comments
Post a Comment