WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA

 



Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria  ikiongozwa na Waziri wa wizara hiyo Mhe. George Simbachawene wakutana na Chama cha Wanasheria Tanganyika walipofika katika ofisi za Wizara hiyo Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya mazungumzo.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA