WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA
Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria ikiongozwa na Waziri wa wizara hiyo Mhe. George Simbachawene wakutana na Chama cha Wanasheria Tanganyika walipofika katika ofisi za Wizara hiyo Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya mazungumzo.
Comments
Post a Comment