WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA

 



Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria  ikiongozwa na Waziri wa wizara hiyo Mhe. George Simbachawene wakutana na Chama cha Wanasheria Tanganyika walipofika katika ofisi za Wizara hiyo Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya mazungumzo.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA