MHE. GEOPHREY PINDA AONGOZA KIKAO KATI YA WIZARA NA TAASISI

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Pinda akiongoza kikao kati ya Wizara na Taasisi zake wakijadili kuhusu utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa mwaka 2021/2022 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2022/2023.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akizungumza katika kikao kati ya Wizara na Taasisi zake wakijadili kuhusu utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa mwaka 2021/2022 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2022/2023.
Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Bi. Elizabeth Tagora akifafanua jambo katika kikao kati ya Wizara na Taasisi zake wakijadili kuhusu utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa mwaka 2021/2022 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2022/2023.

Sehemu ya Washiriki wa kikao hicho.



Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA