MTANDAO WA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU WAKUTANA NA WAZIRI SIMBACHAWENE


 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene akizungunza katika kikao na baadhi ya wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu walipomtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu walipomtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA