WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA WASAIDIZI WA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene akutana na kuzungumza na Wasaidizi wa Watendaji Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara wakati wa kikao chao cha siku mbili jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Wasaidizi wa Watendaji Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara.
Comments
Post a Comment