WAZIRI NDUMBARO: USULUHISHI WA MIGOGORO NJE YA MAHAKAMA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA TANZANIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo akizungumza jijini Dar Es Salaam kwenye hoteli ya Lamada wakati akifungua mkutano wa siku 3 wa masuala ya haki na usuluhioshi wa migogoro ya kibiashara barani Afrika kwa njia mbadala.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatib Kazungu akizungumza jijini Dar Es Salaam alipokuwa akimkaribisha waziri Dkt. Damas Ndumbaro kwenye hoteli ya Lamada ili kuzungumza na kufungua mkutano wa siku 3 wa masuala ya haki na usuluhioshi wa migogoro ya kibiashara barani Afrika kwa njia mbadala.
Picha ya pamoja
Comments
Post a Comment