KIKAO CHA TATHMINI YA YA MPANGO WA USAJILI WA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI MANYARA


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo (katikati), Kabidhi Wasii Mkuu RITA Bi. Angela Anatory (kulia), washiriki kikao cha tathmini ya mpango wa Usajili wa Watoto wa chini ya umri wa miaka mitano mkoani Manyara. Pichani yupo pia Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bw. Makongoro Nyerere (wa pili kulia).

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA