KIKAO CHA TATHMINI YA YA MPANGO WA USAJILI WA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI MANYARA


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo (katikati), Kabidhi Wasii Mkuu RITA Bi. Angela Anatory (kulia), washiriki kikao cha tathmini ya mpango wa Usajili wa Watoto wa chini ya umri wa miaka mitano mkoani Manyara. Pichani yupo pia Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bw. Makongoro Nyerere (wa pili kulia).

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA