kIKAO KAZI CHA WATAALAM WA SMZ NA WA CSO CHA KUHAKIKI NA KUIMARISHA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA HAKI ZA BINADAMU
Bi Hanifa Soud Mkurugenzi wa idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria katika Afisi ya Rais-Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora akifungua kikao kazi cha Watalaam SMZ na wa CSO cha kuhakiki na kuimarisha Mpango kazi wa Taifa wa Haki za Binadamu kinachofanyika Zanzibar.
Watalaam hao wakimsikiliza mgeni Rasmi
Comments
Post a Comment