TANGAZO KWA UMMA

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA


 

Telegramu: "LEGAL"

Simu Na.: +255 26 2310019
Nukushi: +255 26 2310056
Barua Pepe: km@sheria.go.tz
DodomaTovuti:
www.sheria.qotz

 

TANGAZO KWA UMMA

 

Kwa mujibu wa Kanuni ya 14(1), (2) na (3) ya Kanuni za Ithibati ya Waendesha Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi, 2021 (Reconciliation, Negotiation, Mediation and Arbitration (Practitioners Accreditation), 2021 imetoa mamlaka kwa Msajili wa waendesha Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi kutoa taarifa kwa watu waliowasilisha maombi ya kusajiliwa kuwa waendesha Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi na Taasisi zinazojihusisha na utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala kuhusu uamuzi uliofanywa na Jopo la Ithibati kuhusiana na maombi husika.

Kwa msingi huo, Msajili wa watoa huduma za Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi anapenda kuwataarifu waombaji na umma kwa ujumla kuwa, katika Kikao chake cha Tatu cha Jopo la Ithibati ya Waendesha Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi kilichofanyika tarehe 17-18 Juni, 2022 kimetoa ridhaa kwa wafuatao, baada ya kukidhi vigezo, wasajiliwe kuwa watoa huduma za utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala kama ifuatavyo:

(a)          Waleta Maombi 37 wameidhinishwa kuwa Wasuluhishi wa Kudumu:

1.          Mhe. Engera Kileo, Jaji Mstaafu

2.          Mhe. Richard Eliakunda Samwel Mziray, Jaji Mstaafu

3.          Mhe. Atuganile Florida Ngwala, Jaji Mstaafu

4.          Edward Peter Chuwa

5.          Baraka Hitlani Mbwilo

6.          Christopher Bulendu

7.          Dennis B. Mtemi

8.          Leila Hawkins

9.          Peter Lesa Kasanda

10.      Ramadhani Kiungulia Mussa

11.      Rebecca John Lyanga

12.      Rosemary Maaja

13.      Shehzad Amir Walli

14.      Jerome Pantaleo Rweshagara

15.      Judith Subi Lugeye

16.      Lucy Salutarius Kessy

17.      Marwa Masanda

18.      Patric David Mapenzi Mhina

19.      Samuel Nyantari Marwa

20.      Thomas Ernest Nguluka

21.      Verdiana Nkwabi Macha

22.      Adeline Elisei Temu

23.      Clement Eliejenja Ahia Kihoko

24.      Edwin Thomas msacky

25.      Jonathan George Mbuga

26.      Lovenear John Pilimbe

27.      Massa Kitakwa Mumburi

28.      Sabho Nyakore Wambura

29.      Hadija Ally Kinyaka

30.      Theresia Charles Numbi

31.      Georgina Herieth Bazil

32.      Irene Stanley Mwanyita

33.      Irene Lulu Nyange

34.      Oscar Marius Kizuguto

35.      Simon Edward Makata

36.      CENC. Kini Christian Jiyenze

37.      Mnyiwala Wakangile Mapembe

 

(b)          Waleta Maombi 13 wameidhinishwa kuwa Wasuluhishi wa Muda kwa mujibu wa Kanuni ya 6(1), (2) ya Kanuni za Ithibati ya Maridhiano, Majadiliano Upatanishi, na Usuluhishi, 2021:

1.               Amreen Ayub

2.               Gisera Jovinus Maruka

3.               Liberatha Bamporiki Renatus

4.               Pilly Hussein Yahya

5.               Deogratius L. Rugambwa

6.               Anna Francis Tupa

7.               Grace Philotfa Joachim

8.               Jackson Moses Munuo

9.               William Haidary Hassan

10.              Yassin Mwaitenda Maka

11.              Angela Wilson Sirikwa

12.              MariaAlicia Semhelwa Faustine

13.              Comfort Mugisha Blandes

 

(c)          Waleta Maombi 26 wameidhinishwa kuwa Wapatanishi wa Kudumu wa Upatanishi:

1.               Mhe. Susana Berdard Mkapa (Jaji Mstaafu)

2.               Prof. Zakayo Ndobir Lukumay

3.               Christopher Bulendu

4.               Erick Elizeus Mukiza

5.               Haika Belinda John Macha

6.               Gisera Jovinus Maruka

7.               Mariam Iddy Mtiginjollah

8.               Rebecca John Lyanga

9.               Rosemary Maajar

10.           Shehzad Amir Walli

11.           Jerome Pantaleo Rweshagara

12.           Judith Subi Lugeye

13.           Lucy Salutarius Kessy

14.           Marwa Masanda Wambura

15.           Patric David Mapenzi Mhina

16.           Samuel Nyantari Marwa

17.           Salome Brenda Mallamia

18.           Anna Tumaini Mwita

19.           Blandina Oscar Mnunga

20.           Clement Eliejenja Ahia Kihoko

21.           Elizabeth Vitalis Kimario

22.           Jonathan George Mbuga

23.           Theresia Charles Numbi

24.           Aderickson Hezron Njuwa

25.           Georgina Bazil

26.           Irene Lulu Nyange

(d)          Waleta Maombi 11 wameidhinishwa kuwa Wapatanishi wa Muda kwa mujibu wa kanuni ya 5(1) na (2) ya Kanuni za Ithibati ya Maridhiano, Majadiliano Upatanishi, na Usuluhishi, 2021:

1.            Noel Henry Maruwa

2.            Fortune Mathew Nkolongo

3.            MariaAlicia Semhelwa Faustine

4.            Bevin Milton Shango

5.            Moses Cyril Masami

6.            William Haidary Hassan

7.            Jackson Moses Munuo

8.            Anna Francis Tupa

9.            Deogratius L. Rugambwa

10.         Pilly Hussein Yahya

11.         Liberatha Bamporiki Renatus

(e)          Waleta Maombi 5 wameidhinishwa kuwa Waendesha Majadiliano:

1.            Christopher Bulendu

2.            Rebecca John Lyanga

3.            Shehzad Amir Walli

4.            Jerome Pantaleo Rwashagara

5.            Salome Brenda Mallamia

(f)           Waleta Maombi 3 Wameidhinishiwa kuwa Waendesha Majadiliano wa muda kwa mujibu wa Kanuni ya 5(1) na (2) ya Kanuni za Ithibati ya Maridhiano, Majadiliano Upatanishi, na usuluhishi, 2021:

1.            William Haidary Hassan

2.            Moses Cyril Masami

3.            Jackson Moses Munuo

(g)          Waleta Maombi 4 walipata usajili wa kudumu wa Maridhiano kama ifuatavyo:

1.            Christopher Bulendu

2.            Rebecca John Lyanga

3.            Shehzad Amir Walli

4.            Rosemary Maajar

(h)          Waleta Maombi 3 walipata usajili muda wa Maridhiano kwa mujibu wa kanuni ya 5(1) na (2) ya Kanuni za Ithibati ya Maridhiano, Majadiliano Upatanishi,  na usuluhishi, 2021 kama ifuatavyo:

1.               Moses Cyril Masami

2.               William Haidary Hassan

3.               Jackson Moses Munuo

 

(i)            Taasisi 2 zilipitishwa kusajiliwa kama watoa huduma za ADR, ambazo ni zifuatazo:

1.               AQRB

2.               I-RESOLVE

 

Kwa muktadha huo, Ofisi ya Msajili wa Waendesha Maridhiano, Majadiliano, Upatanishi na Usuluhishi inawatangazia watalaam wote pamoja na Taasisi zilizoidhinishwa na Jopo kulipa ada ya usajili na kupokea cheti cha kuendesha huduma hizo kupitia namba ya malipo inayopatikana kwenye tovuti ya Wizara - http://mmuu.sheria.go.tz. Ada hizo ni kama  ifuatavyo:

Ada ya Usajili (Accreditation Fees)

Na.

Kada

Kiasi

  1.  

Usuluhishi

300,000/=

  1.  

Upatanishi

100,000/=

  1.  

Majadiliano

100,000/=

  1.  

Maridhiano

100,000/=

 

Kwa maelekezo zaidi tafadhali wasiliana na Msajili kupitia msajili.mmuu@sheria.go.tz au kupitia simu Na. +255 754 401 406.

 

 

Imetolewa na:

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

22/06/2022

 

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA