WAZIRI NDUMBARO AFUNGUA MAFUNZO YA SHERIA YA MANUNUZI KWA BODI YA ZABUNI NA MENEJIMENTI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA


 


XXXXXXXXXXXXXXXXXX

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amefungua mafunzo ya Sheria ya Manunuzi kwa Bodi ya Uzabuni na Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria. Mafunzo haya yameaza leo tarehe 6-9 Julai, 2022 Jijini Dar es salaam.


Dkt. Ndumbaro amesema mafunzo haya yaangalie na kuzingatia maelekezo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha mfumo wa manunuzi na kuondoa urasimu

"kama wataalam tutafute fomula itakayotupa mfumo wenye uwazi, thamani ya pesa, ubora wa bidhaa na huduma na kuondoa mianya ya rushwa pasipo kuwepo kwa urasimu" alisema Dkt. Ndumbaro

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA