KATIBU MKUU MAKONDO, UNICEF WAJADILI NAMNA YA KUIMARISHA ULINZI WA HAKI ZA MTOTO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi.
Mary Makondo amekutana na ujumbe wa wawakilishi kutoka UNICEF ukiongozwa na
Mkuu wa Ulinzi wa Mtoto, Bi. Maud Droogleever Fortuijn na kujadili namna
watakavyoshirikiana kuimarisha ulinzi wa haki kwa mtoto.
Aidha ameahidi kuwa wadau watashirikishwa
katika hatua zote za maboresho ya mfumo wa haki jinai.
Comments
Post a Comment