KIKAO CHA DHARURA CHA 6 CHA KAMATI YA MAWAZIRI WA MASUALA YA HAKI NA SHERIA

 



Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro akiwa na Wataalam kutoka Wizara ya Katiba, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Wizara ya Afya katika kikao cha dharura cha 6 cha kamati ya Mawaziri wa Masuala ya Haki na Sheria cha Kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa ajili ya kupitisha marekebisho ya sheria ya kuundwa Taasisi ya Afrika kudhibiti na kuzuia magonjwa (Afrika CDC) kilichofanyika kwa njia ya mseto kutoka Adis Ababa Ethiopia, Julai 4, 2022

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA