KIKAO CHA DHARURA CHA 6 CHA KAMATI YA MAWAZIRI WA MASUALA YA HAKI NA SHERIA
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro akiwa na Wataalam kutoka Wizara ya Katiba, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Wizara ya Afya katika kikao cha dharura cha 6 cha kamati ya Mawaziri wa Masuala ya Haki na Sheria cha Kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa ajili ya kupitisha marekebisho ya sheria ya kuundwa Taasisi ya Afrika kudhibiti na kuzuia magonjwa (Afrika CDC) kilichofanyika kwa njia ya mseto kutoka Adis Ababa Ethiopia, Julai 4, 2022
Comments
Post a Comment