Kikao cha Uwasilishaji wa Andiko la Utekelezaji wa Mradi wa Kupambana na Uhalifu Mkubwa wa Kupangwa.


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria akiongoza kikao cha uwasilishaji wa andiko la Utekelezaji wa Mradi wa Kupambana na Uhalifu Mkubwa wa Kupangwa.


Naibu Katibu Mkuu Dkt. Khatib Kazungu akifafanua jambo kwenye kikao hicho


Washiriki wa kikao.

XXXXXXXXXXXXXX

Kikao cha uwasilishwaji wa Andiko la Utekelezaji wa Mradi wa Kupambana na uhalifu mkubwa wa kupangwa. Kikao kimefanyika Ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria mtumba jijini Dodoma Julai 1, 2022 na kiliongozwa Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo na kilihudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu  TAMISEMI Dkt. Charles Msonde na Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani Bw. Christopher Kadio, Pia Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA