Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani Aboud akimkabidhi zawadi Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na Uongozi wa Mahakama hiyo, tarehe 04, Desemba 2024 Mtumba, jijini Dodoma. Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani Aboud akiteta jambo na Katibu Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi akiwa pamoja na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezimula mara baada ya kukamilika kwa mazungumzo baina ya Viongozi hao tarehe 04 Desemba, 2024 katika ukumbi wa Wizara Mtumba, jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani Aboud (wa kwanza kulia kwa Waziri) pamoja na Viongozi wa Mahakama hiyo na Viongozi wa Wizara mara baada ya kukamilika kwa mazungumzo baina ya Viongozi hao, tarehe 04 Desemba, 2024 katika ukumbi wa Wizara Mtumba, jijini Dod...
Comments
Post a Comment