UZINDUZI WA KIKOSI KAZI CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MKUBWA WA KUPANGWA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Mary Makondo akizungumza katika hafla ya uzinduzi Kikosi Kazi  kilichoundwa na Serikali kupambana na uhalifu mkubwa wa kupangwa, hususani usafirishaji haramu wa binadamu na udhalilishaji wa kingono kwa watoto. Hafla hiyo ilihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapunduzi ya Zanzibar. Uzinduzi ulifanyika Zanzibar tarehe 6 Julai, 2022

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA