MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA 2022.



 

Wananchi wa mbalimbali wa Mkoa wa Mbeya na vitongoji vyake wametembelea kwenye banda la Wizara ya Katiba na Sheria kupata elimu  ya masuala ya Sheria ikiwemo Katiba, Haki za Binadamu, Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi na Huduma ya Msaada wa Kisheria. Wakili wa Serikali Mkuu Lawrence Kabigi ametoa huduma hiyo leo  Agosti 06, 2022 katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA