MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA 2022.
Wananchi wa mbalimbali wa Mkoa wa Mbeya na vitongoji vyake wametembelea kwenye banda la Wizara ya Katiba na Sheria kupata elimu ya masuala ya Sheria ikiwemo Katiba, Haki za Binadamu, Utajiri wa Asili na Maliasilia za Nchi na Huduma ya Msaada wa Kisheria. Wakili wa Serikali Mkuu Lawrence Kabigi ametoa huduma hiyo leo Agosti 06, 2022 katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.
Comments
Post a Comment